Thursday 15 August 2013

Utupaji wa taka ovyo na kutopanda miti

Maeneo kama haya yanahitaji kupanda miti ili yaweze kuwa na muonekano mzuri na kuweza kuzuia vumbi kwa wananchi walio karibu na barabara


picha hapo juu inayoonyesha utupaji wa taka ovyo,utupaji ovyo wa taka unaweza kusababisha magonjwa ya mlipuko kwa wananchi waishio karibu na guba hili kama linavyoonekana.

No comments: