Saturday 23 November 2013

AJALI MBAYA YATOKEA ILOMBA, MBEYA.

  • Gari ya abiria (Hiace) yagongana na IT.
  • Watu wajeruhiwa vibaya.
Raia wakijaribu kuokoa majeruhi ndani ya IT iliyokuwa ikielekea Zambia.







Wananchi wakivunja vioo na milango ili kumuokoa abiria aliebanwa ndani ya IT.
Hivi ndivyo inavyoonekana daladala baada ya majeruhi kutolewa na kuwahishwa hospitali ya Rufaa Mbeya.
Daladala iliyokuwa ikielekea Uyole.
Wakazi wa Ilomba wakishirikiana kutoa IT kwenye mtaro.
Askari wa usalama barabarani akiwa eneo la tukio.

No comments: